BREAKING: Channeli za bure zarudishwa DSTV, Waziri Nape atangaza rasmi
Waziri wa Habari Nape Nnauye leo ametangaza rasmi kurudishwa kwa TV channels za bure kwenye king’amuzi cha DSTV mfano CloudsTV, ITV n.k baada ya kutembelea ofisi za Multichoice Tanzania (DStv) Dar es salaam. “Moja ya maagizo ya Mh. Rais Samia ni kuboresha mawasiliano, sasa katika maboresho tunazo baadhi ya kanuni, sera na sheria ambazo inabidi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed